Monday, April 03, 2006

Amini! Gari ya hakimu iliyoibwa yapatikana!

Gari ya hakimu iliyoibiwaimepatikana eneo la Yombo Buza wilayani Temeke. Gari hilo limepatikana likiwa limeng'olewa Vipuri mbalimbali ikiwemo vyenye thamani ya sh. milioni 1.1.

Hakimu safari alisema kutokana na gari hilo kutokuwa na mafuta ya kutosha ndio sababu iliyowafanya wezi hao kuliacha gari hilo baada ya kuishiwa mafuta. Gari hilo linashikiliwa katika kituo cha polisi Chang'ombe na Polisi bado wanaendelea kuwasaka walioiba gari hilo!!!!!!!!! haya mnasemaje?????