Friday, February 02, 2007

MLIOKO UGHAIBUNI WENZENU HUKU HALI NDIO IKO HIVI!!!!

JAMANI HUKU WENZENU HATUSAFIRI TENA!

Huu ni Msafara wa Naibu Waziri wa Miundombinu Dk. Milton Mahanga ambao ulikwama katika eneo la Isuna Mkoani Singida wakati akikagua barabara ya Dodoma-Manyoni, Manyoni-Singida, huku hali ni mbaya sana jamani wasomaji wangu na hasa nyie mlioko Ughaibuni akina Macha Ndesanjo. zaidi ya shilingi bilioni 45 zinahitajika kukarabati barabara hizi ili kurudi katika hali yake ya kawaida.