Thursday, November 26, 2009

TANZIA!

Mlemavu wa Ngozi Mariam Obed (18), amefariki Dunia juzi nyumbani kwao Eneo la Nkhungu Mjini kutokana na kuugua kansa ya Jicho kwa muda mrefu.
Nawashukuru sana wote waliojitolea kwa hali na mali kumsaidia mariam ili aweze kutibiwa, ndugu zangu waliomsaidia mariam HINAI TAMIM na SAID wote wa nchini Oman Muscat, mungu awazidishie baraka muendelee na moyo huo.
Mungu ailaze mahali Pema Peponi roho ya Mariam Obed

AMEN!!