Tuesday, May 02, 2006

Uhuru wa Vyombo vya habari Tanzania Bado ni Ndoto.

Kila mwaka Mei 03 Wanaharakati kote ulimwenguni husherehekea Siku ya uhuru wa Vyombo ya habari Duniani Swali ni Je uhuru huu hapa Tanzania upo au bado longolongo? jadili bila jazba wala upendeleo karibu!!!!!!!!!!!

hivi ndivyo mzee wa sumo na mwenzie walivyoumizwa na askari magereza walipoenda kukava raia wanavyoondolewa kwa nguvu kwenye nyumba zilizokuwa za atc na kununuliwa na magereza kule ukonga. kesi iko inanguruma mahakamani kwani askari jela waliohusika walishtakiwa. Picha na Issa (Michuzi)