Sunday, March 30, 2008

Heri ya mwaka 2008

Nakuombeni saaana wapenzi wasomaji wangu jamani kwa kuwa kimya muda mrefu sasa, kwanza heri ya mwaka mpya! mimi niko safi sana majukumu tu ya kujiandaa kuwa mama ndiyo yananikaba lakini msijali nimerudi tena tegemeeni mambo mapya na mazuri na sasa yatakuwa ya kigogo zaidi si mnajua tena mtu kwao bwana wee na mkaa kwao mtumwa! nawashukuru sana wasomaji wangu ambao mmekuwa mkiwasliana na mimi na kutoa maoni na michango mbalimbali kwa ajili ya kuboresha web page hii, nakushukuru sana kakaangu George Kusila na wengine wote, karibuni mlango uko wazi napokea maoni yenu.