Tuesday, June 23, 2009

Wasamalia wema wamsaidia Binti Mariam




Picha kushoto; Mwandishi na mmiliki wa Blog hii Martha Mtangoo, akimkabidhi fedha taslim sh. 230,00 Mariam ambaye alikuwa akihitaji msaada kwa ajili ya kufanyiwa operesheni ya saratani ya Jicho ambayo tayari ameshafanyiwa, fedha hizo
ambazo zimetolewa na wasamalia wema Hinai Tamim na Said ambao wanaishi nchini Oman.
Mungu awabariki sana.

1 comment:

Mija Shija Sayi said...

Mbarikiwe wote mliofanikisha hili.