Ukisikia Ugogoni lazima utatambua ni katikati ya nchi na makao makuu ya Tanzania, hii ni Dodoma mahali ambapo watarajiwa walichinjiwa na kamwe hawatapasahau. Karibu katika Blog hii ambayo pamoja na mabo mengine inajadili utamaduni halisi wa Mtanzania, karibu!!!
Thursday, November 26, 2009
TANZIA!
Mlemavu wa Ngozi Mariam Obed (18), amefariki Dunia juzi nyumbani kwao Eneo la Nkhungu Mjini kutokana na kuugua kansa ya Jicho kwa muda mrefu.
Nawashukuru sana wote waliojitolea kwa hali na mali kumsaidia mariam ili aweze kutibiwa, ndugu zangu waliomsaidia mariam HINAI TAMIM na SAID wote wa nchini Oman Muscat, mungu awazidishie baraka muendelee na moyo huo.
Mungu ailaze mahali Pema Peponi roho ya Mariam Obed

AMEN!!
 
Muandishi: Martha Mtangoo |Saa:- 3:27 AM | Permalink |


2 Comments:





Jina: Martha Mtangoo
Kutoka: Dodoma, Tanzania

Habari zangu zaidi..
KUMBU KUMBU
MAGAZETI TANDO

VYOMBO VYA HABARI

TAFUTA


MASIKANI


Jina:

URL au E - mail:

Ujumbe:

BLOG IMETENGENEZWA NA:


MWISHO