
Inasemekana Vyama vya upinzani vinafanya fujo makusudi kutokana na wagombea wa Vyama hivyo kujua kuwa havitashinda katika uchaguzi Mkuu ujao.
Lakini kwa mujibu wa Wachunguzi wa masuala ya Siasa wanasema kuwa ni katika kujitetea tu ndio maana vyama hivyo vinafanya hivyo,
Je wewe Msomaji wa Blog hii una maoni gani? unafikiri ni kwa nini inakuwa hivyo? weka maoni yaklo hapa ili unisaidie kuelewa ni kitu gani kifanyika na kwa malengo hani hasa, unakaribishwa kuweka hoja zako bila jaza wala upendeleo wa aina yoyote.
Karibuni.