Tuesday, August 16, 2005

Ni kama anasema "Ndejembi Mwenzio najisikia Kizunguzungu nisaidie ninyanyuke hapa nisije nikaanguka!" Huyu Makamu Mwenyekiti wa CCM na Muasisi wa CCM Mzee Rashid Mfaume Kawawa ambaye jana alishindwa kuendelea kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM almaarufu NEC kutokana na kuugua ghafla akiwa ukumbini. Mzee tunalkubali mchango wako saaana lakini pumzika sasa umechoka he! unataka kufa kishujaa?
Kwa habari zaidi Soma hapa.

No comments: