Tuesday, May 31, 2005

Kusoma nje ya Nchi sio lazima usafiri nje ya nchi yako!

HAYA jamani kwa wale waliokariri kusoma nje ya nchi mpaka upande usafiri kwa kupanda ndege na kwenda marekani au Uingereza hapana.

Unasoma nje ya nchi wakati uko ndani ya nchi, na unapata Digree kwa muda wa miezi michache kama alivyonena kaka yangu hapa Bw. R.s Miruko.
kama unabisha bonyeza hapa.

1 comment: