Monday, May 02, 2005

Kuzirai ni Muhimu lakini Kulia kwa Wabarabaig ni Mwiko

Najua huwezi kuamini lakini jinsi hali inavyooneka ndivyo itakavyokuwa, ni ngumu kuamni lakini ukweli utabaki kuwa palepale, hao 10 kati yao wengi watalia, lakini inawezekana 9 tu ndio watakaolia huyo 1 itakuwa ngumu KULIA anaweza akazirai na kupoteza fahamu lakini asidondoshe hata chozi kutokana na imani za huko kwao Mbulu.

Hayo yatakuwa ni matokeo tu na ukweli utabaki kuwa palepale!

No comments: