Wednesday, May 25, 2005

Wachungaji hawa walichunga sana Kondoo wa Bwana.!

Eee baba Mungu wabariki hawa Nguchiro wafanikiwe kwenda kwenye adhabu yako ya milee wakiwa kama kuni katikakatika ya mafiga ili waungue vyema kutokana na kuudanganya uma kuwa wao ni wachungaji wa kondoo, AMEN.

No comments: