Monday, May 16, 2005

Ndoa ni kazi Ngumu lakini ni Muhimu, kwa nini wengine hawaowi au kuolewa?

Ndoa ni agano linalowekwa kati ya mwanaume na mwanamke wabatizwa mbele ya Mungu ili wawe mke na mume.

Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, agano hili linawafanya wabatizwe wawe mwili mmoja wakishiriki haki zote za ki-ndoa pamoja na mafao ya kijamii yatokanayo na hali ya ndoa.

sasa ni kwa nini wengin hawaowi wala kuolewa, Bofya hapa!

No comments: